WANASAYANSI WASHANGAZWA KUKUTA MAANDISHI YA AMRI KUMI ZA MUNGU KATIKA SAYARI YA MARS YAMEANDIKWA KWA LUGHA 7 TOFAUTI




wanasayansi wa anga za juu wa kampuni ya NASA ya Marekani wameshangazwa na kukuta maandiko ya amri kumi za Mungu na andiko la Yohana 3:16. 

wanasayansi hao waliingia kwenye pango moja kujalibu kutafuta maji na  kukuta maandiko hayo kwenye pango katika sayari ya Mars yakiwa yameandikwa kwenye mawe.
maandishi hayo yaliyoandikwa kawa  lugha 7 tofauti nazo ni English, Spanish, Chinese, Basque Hebrew na lugha yingine hazikutambulika.


wanasayansi hao wameshangwazwa na jambo hilo na kuwafanya wao waamini kuwa ni dini ya kikristo tu ndiyo ndini ya kweli kutoka kwa Mungu.


kati ya wanasayansi hao ambaye yeye ni muautralia na anafanya kazi NASA ambao wako huko tangu Agosti mwaka jana, wameshangaa maandiko hayo yamefikaje huko zaidi ya kuona kuwa kweli MUNGU yupo,


 wanasayansi hao wako huko kuchunguza sayari hiyo ili kuona kama kuna uwezekano wa binadamu kuishi huko jambo mpaka sasa inasemakana kuna uwezekano wa viumbe hai kuishi kuko kutokana na vitu vingi kushabihiana na huku Duniani.


source:martblog

yohana 3:16 BIBLIA inasema ''kwa maana jinsi MUNGU

aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Amri Kumi za Mungu kwa kiswahili

  1. Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri katika nyumba ya utumwa. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
  2. Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani,wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; Kwa kuwa mimi Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; Nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kizishika amri zangu.
  3. Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
  4. Ikumbuke siku ya sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni sabato ya Bwana Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mnyama wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana kwa siku sita Bwana alifanya mbingu na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya sabato akaitakasa.
  5. Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
  6. Usiue
  7. Usizini
  8. Usiibe
  9. Usimshuhudie jirani yako uongo.
  10. Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake,wala punda wake, wala chochote alicho nacho jirani yako.

Comments