Bwana Yesu Asifiwe!
Omba kwa ajili yetu ili kusudi la Bwana tulitekeleze tunapofanya semina yetu ya kwanza ya mwaka huu hapa Arusha mjini, kuanzia 4 januari hadi jumapili ijayo tarehe 11 januari. Semina hii itafanyika uwanja wa Reli kila siku katika siku hizo, kuanzia saa 9 mchana hadi saa 12 jioni. Tutakuwa "Live" kupitia www.mwakasege.org, www.kicheko.com na ustream http://www.ustream.tv/channel/mwakasegemanaministry.
Pia tutakuwa live kupitia radio sauti ya injili(kutoka Moshi), radio safina(kutoka Arusha) na radio HHC Alive(kutoka Mwanza).
Mungu awabariki sana!
By Mwl Mwakasege.
Omba kwa ajili yetu ili kusudi la Bwana tulitekeleze tunapofanya semina yetu ya kwanza ya mwaka huu hapa Arusha mjini, kuanzia 4 januari hadi jumapili ijayo tarehe 11 januari. Semina hii itafanyika uwanja wa Reli kila siku katika siku hizo, kuanzia saa 9 mchana hadi saa 12 jioni. Tutakuwa "Live" kupitia www.mwakasege.org, www.kicheko.com na ustream http://www.ustream.tv/channel/mwakasegemanaministry.
Pia tutakuwa live kupitia radio sauti ya injili(kutoka Moshi), radio safina(kutoka Arusha) na radio HHC Alive(kutoka Mwanza).
Mungu awabariki sana!
By Mwl Mwakasege.
Comments