Kanisa la T A G lazindua pikipiki kwa ajili ya wachungaji.


Pikipiki hizo zikiwekwa wakfu kwa maombi
Askofu mkuu wa T A G  Tanzania Dr. Barnabas Mtokambali amezindua  pikipiki za
Waangalizi Jimbo la Dodoma. Pikipiki hizo zitatumika katika kazi ya MUNGU katika jimbo la Dodoma  Ni miaka 10 ya mavuno Tanzania kwa YESU.
Mpwapwa kwa Yesu

Bishop Dr. Barnabas Mtokambali akizindua pikipiki za
Waangalizi Jimbo la Dodoma. Ni kuvuna hadi kieleweke!

Comments