Addo Novemba ni mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania na ni Rais wa
Chama Cha Muziki wa Injili Tanzania na pia ni mwanasheri. Hivi karibu
mke wake kwa neema ya Mungu ameweza kujifungua mtoto wa kike, na hivi
ndivyo alivyoaandika Addo katika FB akaunti yake
"Tunamshukuru sana Mungu kwa ajili ya Mke wangu kipenzi Deborah
Gwimile Mwasongwe kwa kujifungua mtoto KIKE muda wa saa saba na dakika
25 usiku huu, Mama na Mtoto ni wazima wa afya! MUNGU YESU ATUKUZWE SANA!
NALOLI NALOLI! ahsanteni wanamaombi duniani kote! Ahsante ROHO
MTAKATIFU! GLORY GLORY GLORY!"
Rumafrica For All Nations inakupongeza sana Addo na mke wako kwa kupata
zawadi hii ya mtoto, kwani kuna watu wengi wanatafuta watoto na
hawapati, lakini wewe Mungu amaekujalia. Tunawatakia malezi mema na
Mungu azidi kuwapa afya njema na kubariki kazi ya mikono
yenu....Asanteni
Comments