MKUTANO WA INJLI HUKO MWAKAJE ZANZIBAR, MHUBIRI ALIKUWA NI REV. AMOS LUKANULA |
- 1.KUTUBU. 2.KUBATIZWA. 3.KUPOKEA NGUVU. Katika Biblia kitabu cha matendo 2:38-39 {Petro akawaambia,TUBUNI,MKABATIZWE kila mmoja kwa jina lake YESU KRISTO, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi MTAPOKEA kipawa cha ROHO MTAKATIFU. kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu na kwa watoto wenu, na kwa wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na BWANA MUNGU wetu wamjie} Ndugu ukitaka kuishi maisha ya ushindi ya kiroho ni lazima kwanza utubu na kumwamini BWANA YESU na kutubu huku maana yake ni kugeuka kutoka dhambini na kumfuata BWANA.Matendo 3:19 Biblia inasema tubuni basi mrejee ili dhambi zenu zifutwe zipate kuja siku za kuburudishwa kwa kuwako kwake BWANA.Kubatizwa katika mwili wa KRISTO kwa maana Roho mmoja sote tulibatizwa wagalatia 3:26-27 {kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa MUNGU kwa njia ya imani katika KRISTO YESU, Maana ninyi nyote mliobatizwa katika KRISTO mmemvaa KRISTO}
UBATIZO WA MAJI MENGI AMBAO UBATIZO WA KIBIBLIA UKIWA WA YESU LAZIMA YESU AWE NA WEWE HATA UZIMA WA MILELE
Comments