Posted by
Peter Mabula
- Get link
- X
- Other Apps
![]() |
RAPHAEL MBOGO WA KURASINI DAR ES SALAAM |
Bwana Yesu asifiwe?
Mungu kwa nguvu zake ametupenda sana kwa kuwa tangu kuumbwa misingi ya
ulimwengu aliwapenda wanadamu.Baada ya mshitaki wetu Ibilisi kumfanya
mwanadamu amkosee Mungu kwa kutokutii{mwanzo 3:1-13}kwa kumkosea Mungu
wanadamu tumehesabiwa kuwa tuko uchi,soma vizuri kitabu cha Mwanzo,Adam
na Hawa hawakujua kama wako uchi..ndiyo matendo machafu ambayo
yanatutenga mbali na Mungu.tulikufa kwa kuirithi dhambi hiyo{efeso 2},naye
Mungu akafanya mapinduzi ambayo Shetani amelala chali,Mungu akanena kwa
midomo ya nabii Isaya kwamba tutapokea ishara kuwa Bikira atachukua
Mimba naye atamzaa mtoto nasi kwa KUMTII yeye tumekombolewa{isaya
7:14,yohana 3:16}..Tumekombolewa kwa yeye Yesu mwana wa Mungu..MUNGU awabariki sana na nawatakia sikukuu njema na tusherekee kwa amani na upendo. By Raphael mbogo

- Get link
- X
- Other Apps
Comments