HALI HII YA MAISHA INAMHITAJI YESU TU ILI FURAHA IJE

KATIKA MAGUMU KAMA HAYA MUNGU PEKEE NDIO MSAADA ULIO WA KARIBU KWANI YEYE HUJIBU MAOMBI

Kuna dada amenielezea mambo ambayo kweli anahitaji msaada lakini moyo wake mgumu kuhusu kumpa YESU KRISTO maisha yake MUNGU ampe moyo wa nyama huyu dada aliolewa katika familia yenye mambo ya giza kuna siku alishuhudia mama mkwe wake akichukua nguo za mwanae na kumvisha kondoo na huyo kondoo alizikwa akiwa hai huyu binti baada ya kuona hivyo akatoroka ukweni na watoto wake mapacha wakiwa na miezi 6 alipofika kwao baba yake akamfukuza arudi huko huko alitoka atafute mahali pa kwenda alipokuwa njiani mdogo wake akamkimbilia akamwambia baba amewaweka watoto kwenye kiroba anakwenda kuwatupa maana anadai mtoto wake aliolewa bila watoto alirudi mbio nyumbani akakuta kiroba kimetupwa kando ya barabara mdogo wake akikitambua kile kiroba wakakifungua na kuwakuta watoto wake wakiwa wamechoka sana baada ya hapo akapata mfadhili akaja dar kwa dada yake  akijua sasa atatulia dada yake alikuwa ameolewa na watoto 3 siku moja dada yake alimfumania mumewe wakati anatoka katika fumanizi yule mama alipata ajali na kufa hapo hapo hivi sasa analea watoto 5  yaani wake 2 wawili na wa dada yake marehemu watatu na ni mama lishe na hali ni mbaya sana napenda aokoke ila anahitaji maombi hivyo tumwombee. BY  HELLEN WANDE

Comments