MAANA YA NENO CHRISTMAS




Maana ya CHRISTMASS ni maneno mawili yaani 1. CHRIST(Mesiah au mpakwa mafuta au aliyetengwa kwa kazi maalum) na neno la pili ni 2.MASS yaani kusanyiko (group of .....) Kwa hiyo maana ya CHRISTMASS ni kusanyiko la KRISTO.ndugu uwe pia makini sana maana wengine wameleta neno xmass wakiwa na maana ya hakuna CHRISTMAS au hakuna kusanyiko la KRISTO na watakatifu wamelipokea hili na kuanza kulitumia lakini walioleta hili neno xmass ni wapinga Kristo hivyo ndugu heri tumia tu neno CHRISTMAS.MUNGU akubariki sana na nakutakia sikukuu njema

Comments