MAOMBI NI MUHIMU SANA KWA WATU WA MUNGU



wewe ni wa thamani sana mbele za MUNGU. na MUNGU akupe kinga kwa kila hatari, baraka kwa kila jambo jema,jibu kwa kila ombi,tabasamu kwa kila chozi,akujalie afya njema, furaha,amani na upendo. akutimizie haja njema za maoyo wako. Neno hili likasimame na wewe katika magumu unayopitia likapigane na maadui zako kuanzia walio ndani hadi walio nje na kwa neno hili YESU akawafunge waliokufunga,wawe mateka waliokufanya mateka,wateseke wao waliokutesa,waliokufungia uchumi wafungwe wao {yeremia 30:16-20, kutoka 23:22, Isaya 4:11, zaburi35:1} BWANA YESU akubariki sana.

Comments