![]() |
PETER MICHAEL MABULA |
![]() |
BIBLIA TAKATIFU |
Ndugu zangu nawasalimu katika jina la YESU KRISTO. Napenda kuwatia moyo ndugu zangu ya kwamba MUNGU anatenda miujiza kwa njia yeyote na hazuiliwi na chochote. Kwa muda sasa nimekuwa napost neno la MUNGU au ujumbe wenye mafundisho ya Biblia ili watu wengine wabarikiwe,wafundishwe,waonywe
namshukuru sana MUNGU. Wote tunahijatiana yaani nionye ninapokosea na na wewe kubali kuonya au kufundishwa unapokosea au unapokwenda sivyo maana hata Biblia inasema ''mfundiishane,muonyane na mwombeane'' na yote yatendeke kwa upole na bila chuki yeyote.hivyo tumia nafasi yako ndugu kupost neno la MUNGU na kufariji wengine.Ni hayo tu MUNGU awabariki sana wote watakaosoma ujumbe huu na naamini MUNGU ameshatenda miujiza mingi kwa wengine kupitia wewe hata kama hujafanikiwa kujua hilo au kuona ila amini kwani anayeponya sio wewe ni MUNGU hivyo kujua au kutokujua isikushughurishe ila songa mbele na YESU KRISTO na wasaidie na wengine waijue hii kweli ya YESU na hiyo kweli iwaweke huru.
By Peter Michael Mabula
Maisha ya ushindi.
0714252292
![]() |
PETER M MABULA |
Comments