SOMA KWA MAKINI UJUMBE HUU NA UKUSAIDIE WEWE NA UWASAIDIE NA WENGINE NA BIBLIA INASEMA ''Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya,
akatupwa katika ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na
yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na
milele.''{Ufunuo 20:10} Maana hawa ni utatu wa shetani na hata waumini
wao lazima waupinge UTATU MTAKATIFU WA MUNGU, Pia ndugu kumbuka joka
ndiye shetani mwenyewe, mnyama ni msaidizi wa sh
Comments