SOMA KWA MAKINI UJUMBE HUU NA UKUSAIDIE WEWE NA UWASAIDIE NA WENGINE NA BIBLIA INASEMA ''Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, 
akatupwa katika  ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na
 yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na 
milele.''{Ufunuo 20:10} Maana hawa ni utatu wa shetani na hata waumini 
wao lazima waupinge UTATU MTAKATIFU WA MUNGU, Pia ndugu kumbuka joka 
ndiye shetani mwenyewe, mnyama ni msaidizi wa sh







Comments