Pichani ni mkurugenzi wa taasisi ya kidini ya Voice of Hope
Ministries,Mchungaji Peter Mitimingi akiwa katika huduma huko Mexico
City ,Mexico mapema mwezi huu.Mungu alimtumia kwa namna ya kipekee
sana...Taasisi ya Voice of Hope ni moja kati ya taasisi ambazo zimekuwa
zikifanya kazi kwa karibu sana na Kampuni ya
DigitaBrain
Comments