imetoka gospel kitaa blog
![]() |
| Sehemu ya mbele ya kanisa katoliki Parokia ya Mtakatifu Joseph, Olasiti, Arusha. |
![]() |
| Huzuni ikiwa imetanda kwa masista kanisani hapo. |
![]() |
| Askari Polisi wakichukua sampuli eneo la tukio. |
![]() |
| Wapelelezi wakiendelea na kazi yao eneo la tukio. |
![]() |
| vikosi vya kila aina, ndani ya uniofrm na bila uniform. |
![]() |
| Ufute wa polisi ukizungushiwa kuzuia watu kuingia eneo la tukio. |
![]() |
| Taswira ya ndani ya kanisa hilo jipya, |
![]() |
| Waandishi wa WAPO Radio, Gadlod Mg'ang'a na Masau Bwire wakiwahi eneo la tukio. |
![]() |
| Msaada u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi. |
![]() |
| Sista akisikitika huku akimuelezea tukio lote mwandishi wa WAPO Radio FM, Gadlod. |
![]() |
| Balozi wa Papa nchini Tanzania, Askofu Mkuu Francisco Padilla akisindikizwa nje ya kanisa na wanausalama kumuondoa eneo hilo. |
![]() |
| Askofu Francisco Padilla akiwa ndani ya gari tayari kuondolewa eneo la tukio. |
![]() |
| Escort ya jeshi la Polisi ikisindikiza gari iliyombeba balozi wa Papa nchini Tanzania. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Arusha, Bwana Magesa Mulongo akiwasili eneo la tukio. |
![]() |
| Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha akitoa taarifa kwa wanahabari kuhusu tukio hilo. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa akiwataka wananchi kuwa wavumilivu wakati jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wake. |
![]() |
| Wanausalam kutoka vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa eneo la tukio kung'amua kiini cha mlipuko huo. |
![]() |
| Wabunge Joshua Nassari na Godbless Lema wakiwasili eneo la tukio |
![]() |
| Police line, do not cross. |
![]() |
| Gari la kikosi cha zimamoto na ukoaji likiwa limekwama kwenye matope yaliyosababishwa na mvua inayoendelea kunyesha jijini Arusha mfululizo. |
![]() |
| Wananchi wakiwasindikiza wabunge wa CHADEMA kutokea kanisani hapo. |
![]() |
| kazi ya wanatarumbeta ikiwa imekatishwa na mlipuko huo, jambo ambalo limepelekea kumaliza siku mapema. |
![]() |
| Askari wa Umoja wa Matiafa akitokea eneo la tukio katika juhudi za kuokoa na kuweka mambo sawa, nyuma yake akiwa askari wa jeshi la polisi nchini |









































Comments