imetoka gospel kitaa blog
![]()  | 
| Sehemu ya mbele ya kanisa katoliki Parokia ya Mtakatifu Joseph, Olasiti, Arusha. | 
![]()  | 
| Huzuni ikiwa imetanda kwa masista kanisani hapo. | 
![]()  | 
| Askari Polisi wakichukua sampuli eneo la tukio. | 
![]()  | 
| Wapelelezi wakiendelea na kazi yao eneo la tukio. | 
![]()  | 
| vikosi vya kila aina, ndani ya uniofrm na bila uniform. | 
![]()  | 
| Ufute wa polisi ukizungushiwa kuzuia watu kuingia eneo la tukio. | 
![]()  | 
| Taswira ya ndani ya kanisa hilo jipya, | 
![]()  | 
| Waandishi wa WAPO Radio, Gadlod Mg'ang'a na Masau Bwire wakiwahi eneo la tukio. | 
![]()  | 
| Msaada u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi. | 
![]()  | 
| Sista akisikitika huku akimuelezea tukio lote mwandishi wa WAPO Radio FM, Gadlod. | 
![]()  | 
| Balozi wa Papa nchini Tanzania, Askofu Mkuu Francisco Padilla akisindikizwa nje ya kanisa na wanausalama kumuondoa eneo hilo. | 
![]()  | 
| Askofu Francisco Padilla akiwa ndani ya gari tayari kuondolewa eneo la tukio. | 
![]()  | 
| Escort ya jeshi la Polisi ikisindikiza gari iliyombeba balozi wa Papa nchini Tanzania. | 
![]()  | 
| Mkuu wa mkoa wa Arusha, Bwana Magesa Mulongo akiwasili eneo la tukio. | 
![]()  | 
| Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha akitoa taarifa kwa wanahabari kuhusu tukio hilo. | 
![]()  | 
| Mkuu wa mkoa akiwataka wananchi kuwa wavumilivu wakati jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wake. | 
![]()  | 
| Wanausalam kutoka vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa eneo la tukio kung'amua kiini cha mlipuko huo. | 
![]()  | 
| Wabunge Joshua Nassari na Godbless Lema wakiwasili eneo la tukio | 
![]()  | 
| Police line, do not cross. | 
![]()  | 
| Gari la kikosi cha zimamoto na ukoaji likiwa limekwama kwenye matope yaliyosababishwa na mvua inayoendelea kunyesha jijini Arusha mfululizo. | 
![]()  | 
| Wananchi wakiwasindikiza wabunge wa CHADEMA kutokea kanisani hapo. | 
![]()  | 
| kazi ya wanatarumbeta ikiwa imekatishwa na mlipuko huo, jambo ambalo limepelekea kumaliza siku mapema. | 
![]()  | 
| Askari wa Umoja wa Matiafa akitokea eneo la tukio katika juhudi za kuokoa na kuweka mambo sawa, nyuma yake akiwa askari wa jeshi la polisi nchini | 









































Comments