SI KWELI KWAMBA KILA ANAYEPATA SHIDA YA KUSAMEHE ANA ROHO MCHAFU AU
PEPO. Kusamehe ni moja ya mambo muhimu tunatakiwa kuyafanya. You must
walk into people's shoes ili kuweza kumsaidia mtu anayesumbuliwa na
UCHUNGU unaomfanya ashindwe kusamehe kwa haraka. Wapo watu wengi sana
wanatamani sana waweze kusamehe na sio kwamba eti wana roho chafu,
hapana. Ni uchungu usioelezeka. Yapo maumivu ambayo huwa ni makali saana
sana kiasi kwamba mpaka Mungu mwenyewe akusaidie kupitia Roho mtakatifu
ndipo unaweza kusamehe bila kuendelea kusikia uchungu kila ukikukbuka.
Watu ambao hawajawahi kuumizwa vizuri kama mfano wa ndugu zetu wa Congo,
Rwanda, Burundi, n.k. ambao baadhi yao
walivamiwa na watu wabaya, waka-lazimishwa kuwa-twanga watoto wao
wachanga kwenye kinu, na wengine wakalazimishwa kuangalia namna wake zao
wanafanyiwa unyama, hawawezi kuelewa ugumu wa kusamehe haraka-haraka.
Sasa, I don't care how much wewe unalijua neno, it is very important
kujua namna ya kusema when it comes to this issue of forgiving others.
NI LAZIMA TUWEZE KUSAMEHE IKIWA TUNATAKA TUSAMEHEWE PIA NA TUWEZE KWENDA
MBINGUNI INGAWA WAKATI MWINGINE INACHUKUA MUDA NA INACHUKUA PROCESS
ILI KUWEZA KUSAMEHE. Yapo mambo rahisi sana ambayo unaweza kusamehe in
seconds KUTEGEMEANA NA UMEKUA KIROHO
by Pastor-Donis Nkone
by Pastor-Donis Nkone
Comments