A.
Hakuna mwanaume au mwanamke aliye kisiwa, yaani asiwe na mahusiano na
wengine (Huwezi kujitosheleza mwenyewe unahitaji mwingine akushauri) Zab 32: 80
nitakushauri.
B.
Wewe peke yako ndiye utakaye wajibika kwa Mungu kwa maamuzi yako.
-
Katika maamuzi yako mabaya yasiyohitaji
ushauri au kukataa ushauri utaumia.
-
Mf, Samsoni alishauriwa lakini alikataa
mashauri (Waamuzi 14: 1-3).
-
Watu wengine wanaweza kutusaidia kuona
mambo kwa namna mpya kabisa kuliko tunavyoona au kusikia hasa wakati wa msongo
wa mambo mengi.
-
Tilia maanani unapoambiwa jambo ambalo
hujawai kuwaza katika hilo jambo.
-
Vijana wengi hawaongozwi na Roho – ndiyo
maana ndoa nyingi zinaishia pa baya.
-
Ndiyo maana mmoja anapoingia kwenye ndoa
alikuwa na safari ya kwenda mbinguni inageuzwa anaanza kwenda jehanamu, (Ugomvi
usioisha).
-
Washauri wanasaidia mtu kuchunguza nia na
makusudi yake na ili azingatie muda unaofaa.
-
Uwe makini sana kupokea ushauri kutoka
kwa wengine, (Mf, Musa na Mkwewe).
-
Ni lazima tuwe wazi kwa wale wanaotupenda
, (Mith 18:1) tusijitenge na wengine, tusishindane na kila ushauri.
-
Ukiwa umeshauriwa vizuri kubali na kama
ulishakusudia jambo kubali kweli sahihi.
- Yale maamuzi tunayofanya yawaadhiri
wengine zingatia:-
a.
Angalia neno la Mungu.
b.
Ukamilifu katika amani ya Mungu ndani yetu.
c.
Ushauri wa wengine.
MUNGU awabariki sana by Bishop YONA P SOLA LEMA
Kanisa la SAFINA VICTORY PENTECOSTAL
Ungalimited, Arusha
0754049163.
karibu kwa maombezi na ushauri wa kibiblia
MUNGU awabariki sana by Bishop YONA P SOLA LEMA
Kanisa la SAFINA VICTORY PENTECOSTAL
Ungalimited, Arusha
0754049163.
karibu kwa maombezi na ushauri wa kibiblia
Comments