Naomba Mchango wako ili niweze kutoa Video ya Album yangu.


Neema Decoras
Rafiki na ndugu yangu mpendwa;

Ninamshukuru Mungu kwa kuniwezesha kutoa albamu yenye nyimbo nane inayoitwa Milele Nitalisifu Jina Lako (Zaburi 145:1-3) katika mfumo wa Audio CD.

Lakini nimeshindwa kukufikishia albamu hiyo hapo ulipo kwa sababu wasambazaji na wauzaji wanaamini wewe na ndugu zangu wengine mnapenda kuangalia Video kuliko kusikiliza Audio.

Ninahitaji shilingi za Tanzania milioni tatu (Tshs 3,000,000/=) ili niweze kulipia na kufanikiwa kutoa albamu yangu katika mfumo wa Video CD/DVD na hii ni changamoto mbayo imezidi uwezo wangu.

Kwa msaada wako wa kifedha, ufadhili, udhamini au kujitolea kunifanyia video bure au kwa gharama ndogo ninaamini nitaweza kufanikisha hili na kuwezesha huduma na kazi hii ya Mungu kusonga mbele.

Hivyo rafiki na ndugu yangu mpendwa, ninaomba mchango wako wa kiasi chochote cha fedha utakacho jaaliwa ili niweze kutoa video ya albamu yangu.

KUCHANGIA TAFADHALI TUMIA NAMBA
+255658027515 (tiGO Pesa & SMS)

Asante sana kwa kuthamini, kuzingatia na kutumia muda wako kusoma post hii!

Neema Decoras
Phone: +255 658 027515
Email: neemadecoras@yahoo.com

Comments