Majonzi simanzi vyatawala jijini Mwanza, maelfu wauaga mwili wa Askofu Dr.Moses Kulola


Mkuu wa mkoa wa Mwanza injinia Evarist Ndikiro akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Askofu mkuu Moses Kulola

sehemu ya umati wa watu waliohudhuria kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa baba wa kiroho Askofu Moses Kulola
Misururu mirefu ya watu waliojitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa askofu Moses Kulola
Mwili wa Askofu Mkuu wa kanisa la EAGT na baba wa kiroho wa watumishi wengi Askofu Moses Kulola
Mchungaji Dunstan Maboya ambaye pia aliwahi kufanya kazi na Askofu Moses Kulola miaka ya nyuma hapa akielezea jambo

Picha zaidi zinakuja zikionesha kile kilichojiri leo
 Source:mjap inc blog

Comments