![]() |
Mchungaji Antony Lusekelo maarufu kama mzee wa upako |
TAG wagange wajayo waachane kabisa na na jambo hilo,na kuongeza kua maoni yake hayo yanazingatia ukweli kwamba watu wengi hata waumini wa makanisa hayo mawili hawajui mengi juu ya mgogoro huo.
Hata mkuu wan chi Rais Jakaya Kikwete niliongea naye alikua hajui kama kulikua na watu wameshitaki ili kulola asizikwe pale Rais Kikwete alishangaa sana…nawashauri waache” alisisitiza.
Mzee wa upako amesema katika hali ya kiungwana TAG walipaswa kujiuliza wao watapoteza nini ikiwa wataachia makanisa hayo wanayodai ni ya kwao kasha wafikirie adha ambayo itawapata wale ambao tayari wanayatumia kwa kuzingatia kwamba wote wanafanya kazi chini ya Mungu mmoja.
Mzee wa upako amesema kwamba kama ombi la TAG litakubaliwa mahakamani EAGT watatawanyika waanze kuhaha kutafuta pa kuabudia huko TAG wakibaki na majengo wazi ndipo waanze kutafuta watu wa kuyatumia hivyo kiroho kutakua na athari kubwa.
-mjap inc-
Comments