SHUHUDA MBALIMBALI KUTOKA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA:YESU ANATENDA KAZI HATA SASA

Dada aliyekua anasumbuliwa na matatizo mbali mbali na kushindwa kutembea tangu mwaka jana alipokea uponyaji wake na kuweza kutembea.
Katika ibada iliyoongozwa na mch Josephat Gwajima dada huyo aliweza kutembea wenyewe bila magongo

Comments