MLEVI SUGU AACHA POMBE BAADA YA MIAKA MINGI .
Haleluya,... MUNGU Wetu na BABA YETU ni Mzuri sana, Anatupenda sana Wanawe.
Kijana huyu mwana wa MUNGU, leo aliamua kuja Kushuhudia mbele za Wana wa MUNGU na Mbele za Madhabahu ya MUNGU wetu MKUU, juu ya Matendo Makuu ambayo MUNGU wetu BABA Amemtendea katika Maisha yake,... Kijana Mwana wa MUNGU (Denis Malesela) anashuhudia kwamba, kabla hajaamua Kumpokea BWANA wetu YESU KRISTO Kuwa BWANA na MWOKOZI wa Maisha yake (Kuokoka) alikuwa ni Mlevi sana, Alianza kunywa pombe toka akiwa darasa la tatu, Bibi yake alikuwa anapika pombe kwa hiyo alikuwa anampatia mjukuu wake asubuhi kabala ya kwenda shule na hata akirudi shule.
Kwa hiyo Denis akajikuta roho ya ulevi imemwingia, na hiyo roho imemtesa sana, kwani alikuwa Anakunywa pombe na kupigana na watu, na hata ilifikia pointi akawa anapelekwa polisi na kuwekwa sello kwa sababu tu ya pombe,... Pombe ilimtesa sana.
Denis akaendelea kushuhudia kuwa, ... baada ya Mjomba wake kumshauri na Kumuhubiria Habari Njema za BWANA Wetu YESU KRISTO, na kumleta EFATHA,... ndipo alipoamua KUOKOKA na ... KWELI YESU WETU HADANGANYI,... Bwana wetu YESU KRISTO Alimbadilisha maisha yake na Kumfanya AWE KIUMBE KIPYA, ... na toka siku hiyo POMBE ALIACHA na HANYWI TENA, na Sasa Amekuwa Kijana Mzuri na Anatenda Vema sasa,... na Yuko na Amani na Furaha katika Maisha yake sasa,... Haleluya.... MUNGU Wetu na BABA YETU Ni MZuri sana, YESU ANATUPENDA, ANATUPENDA Sana, Hakuna Jambo GUMU Kwa Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO,... Haleluya.
USHINDI ni kwa MWANA KONDOO ALIYE HAI... YESU KRISTO MFALME Mwana wa MUNGU, Mwana wa BABA, MUNGU WETU MKUU Aliye HAI.
Haleluya,... MUNGU Wetu na BABA YETU ni Mzuri sana, Anatupenda sana Wanawe.
Kijana huyu mwana wa MUNGU, leo aliamua kuja Kushuhudia mbele za Wana wa MUNGU na Mbele za Madhabahu ya MUNGU wetu MKUU, juu ya Matendo Makuu ambayo MUNGU wetu BABA Amemtendea katika Maisha yake,... Kijana Mwana wa MUNGU (Denis Malesela) anashuhudia kwamba, kabla hajaamua Kumpokea BWANA wetu YESU KRISTO Kuwa BWANA na MWOKOZI wa Maisha yake (Kuokoka) alikuwa ni Mlevi sana, Alianza kunywa pombe toka akiwa darasa la tatu, Bibi yake alikuwa anapika pombe kwa hiyo alikuwa anampatia mjukuu wake asubuhi kabala ya kwenda shule na hata akirudi shule.
Kwa hiyo Denis akajikuta roho ya ulevi imemwingia, na hiyo roho imemtesa sana, kwani alikuwa Anakunywa pombe na kupigana na watu, na hata ilifikia pointi akawa anapelekwa polisi na kuwekwa sello kwa sababu tu ya pombe,... Pombe ilimtesa sana.
Denis akaendelea kushuhudia kuwa, ... baada ya Mjomba wake kumshauri na Kumuhubiria Habari Njema za BWANA Wetu YESU KRISTO, na kumleta EFATHA,... ndipo alipoamua KUOKOKA na ... KWELI YESU WETU HADANGANYI,... Bwana wetu YESU KRISTO Alimbadilisha maisha yake na Kumfanya AWE KIUMBE KIPYA, ... na toka siku hiyo POMBE ALIACHA na HANYWI TENA, na Sasa Amekuwa Kijana Mzuri na Anatenda Vema sasa,... na Yuko na Amani na Furaha katika Maisha yake sasa,... Haleluya.... MUNGU Wetu na BABA YETU Ni MZuri sana, YESU ANATUPENDA, ANATUPENDA Sana, Hakuna Jambo GUMU Kwa Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO,... Haleluya.
USHINDI ni kwa MWANA KONDOO ALIYE HAI... YESU KRISTO MFALME Mwana wa MUNGU, Mwana wa BABA, MUNGU WETU MKUU Aliye HAI.
![]() |
Comments