Na Bishop
YONA P SOLA LEMA Kanisa la SAFINA VICTORY PENTECOSTAL Ungalimited, Arusha 0754049163. karibu kwa maombezi na ushauri wa kibiblia |
-Lugha ya Mwana ina uzito kuliko lugha ya mtoto.
Wote waliompokea Yesu walifanyika wana wa
Mungu. (Yh 1: 12)
- Mwana hufanywa, unaweza kuzaa mtoto asifanyike kwako
mwana akabaki kuwa mtoto. - Mwana anapaswa kumpokea Baba moyoni na Baba ampokea mwana moyoni.
- Kinachomfanya mwana ni mwonekano wake mbele ya Baba yake( kwa utii, unyenyekevu, usikivu, kujitoa kwa Baba yako Mf. Priska, akila Rum 16: 3-4)
- Mwana siku zote akiwa mbele za Baba yake kumsikiliza anachotakiwa kufanya ( Yoh 5:19 mwana hutenda kile Baba anachotenda)
- Ili uwe mwana lazima uwe na Baba atakayekufanya huo uwana.
-
Baba yako ni nani? Au una wababa
wangapi wa kiroho? ( Filipo tuonyeshe Baba Yoh 14: 6-13)
-
Uhusiano wako na Baba yako ukoje?
Ushirikiano wako na Baba ukoje? (Mal 1:6a)
-
Mwana hufanya mapenzi ya Baba (Yoh
4:34)
-
Mwana atafuta wazo la Baba ni lipi ili
alifanye pia humtukuza Baba (Yoh 17: 3-6a).
- Mwana afanya kile Baba
anachokifanya, mnaniita Bwana Bwana na hamfanyi niyatendayo.
-
Mwana hawezi kujitukuza au kujibariki
mwenyewe ( Math 3:16-17, Luka 9:33-35)
-
Ule uzima Baba alionao na mwana
anakuwa nao mara dufu (Yoh 5:26).
- Huwezi ukawa na Baba wengi, Baba ni
mmoja kubali kukaa chini ya Baba ili uwe baraka (1Kor 14:17)
MUSA
NA MWANAYE WA KIROHO:
-
Musa na wana wa Israel, Wana wa Israel
hawakukubali kuwa wana wa Musa matokeo walikufa wengi.
-
Mungu alimwinua Musa awe Baba kwa wana wa
Israel.
-
Musa aliambulia watoto wawili Joshua na
Kalebu.
-
Wana wa Israel walikuwa mzigo (Mith 19:
13).
-
Paulo na Timotheo mwanaye.
-
Paulo alikuwa Baba wa Timotheo.
-Timotheo alifanywa mwana na Paulo.
MAMBO
YANAYOMFANYA TIMOTHEO AWE MWANA WA PAULO:
-Alikubali kukaa chini na kulelewa na Paulo (1Tim
1:1-3)
-Alikubali kubeba agizo la baba yake
-
Alikubali kuelekezwakupokea maagizo (Tim
1:18-20, 2Tim 3:10)
-Timotheo alikuwa mwana kwa baba Paulo (1Tim 4:16)
-
Timotheo alimwombea baba yake,
aliufurahisha moyo wake (2Tim 1:2-8 hakuona kuitwa baba yake).
-
Mwana ni faraja kwa babaye (2Kor 7: 5-7)
-Mwana hufanywa (shika kielelezo maneno ya uzima
uliyosikia kwangu (2Tim 1: 13-14).
-Timotheo alimwepuka baba yake mst 15 (2Tim 4:9,13)_
-
Onesiforo aliuburudisha moyo wa baba yake
mst 16.
-
Ili mwana awe baba kwa wana anapaswa akae
kwenye mafundisho ya baba mmoja, 2Tim 3: 14 – 17.
-Ni vizuri unyonye maziwa kwa mama mmoja.
-1Petro 2:2 unanyonya maziwa wapi na wapi ( Tamani
kunyonya maziwa sehemu moja).
-Mkristo
anapoondoka kwenda sehemu nyingine anaitwa mtoto (mwana anaishi, anakaa,
anaishi karibu anatumika kwa wakati huu) Filemoni 1: 10-13.
- Huyu alikuwa
moyo wa Paulo Onesmo
-Paulo alimkabidhi mtoto akawa mwana kwa Filimoni
(ubaba ulivyo akiwa anadaiwa kitu nidai mimi mst 17 -21)
-Kadri mwana anavyokuwa karibu na baba ndivyo baba
anavyoachilia heshima kwa mwana (Yoh 5: 22-23 mwana yupo tayari kujitolea
maisha yake kwa ajili ya baba amlinde Mf, Priska, Akila (Rum 16: 3-4)
-
Yale maisha ya Yesu mbele ya baba yake na
yale maisha ya Timotheo mbele ya baba yake Paulo,na Elia na Elisha na Musa na
Joshua ndivyo Mkristo mwenye kuhitaji kuwa na mafanikio endelevu anatakiwa
aishi mbele ya Mchungaji wake.
MUNGU akubariki sana
MUNGU akubariki sana
by Bishop
YONA P SOLA LEMA
Kanisa la SAFINA VICTORY PENTECOSTAL
Ungalimited, Arusha
0754049163.
karibu kwa maombezi na ushauri wa kibiblia
Kanisa la SAFINA VICTORY PENTECOSTAL
Ungalimited, Arusha
0754049163.
karibu kwa maombezi na ushauri wa kibiblia
Comments