![]() |
Askofu Kakobe akiwaombea wachungaji katika semina mjini Lubumbashi jana. |
Kabla ya kuanza mkutano huo ambao umekusanya maelfu ya wakazi wa jiji la Lubumbashi, askofu Kakobe alianza na semina maalumu kwa wachungaji wa makanisa mbalimbali ya kiroho nchini humo iliyofanyika kwa siku mbili Alhamis na jana ijumaa ambapo pia alipata kuwaombea ujazo wa Roho Mtakatifu wachungaji hao ambao kwa mujibu wa taarifa kutoka huduma ya askofu Kakobe wachungaji hao wameshukuru kwakujazwa nguvu mpya katika kuitenda kazi ya Mungu katika makanisa yao.
![]() |
Kundi la wachungaji waliohudhuria semina hiyo. |
![]() |
Picha mbalimbali zikionyesha semina ya wachungaji ilivyofanyika huko Kongo Alhamis na jana Ijumaa. Picha kwahisani ya ukurasa wa Facebook wa huduma ya askofu Kakobe. |
Comments