Ilikuwa ni furaha sana kwa mdogo wangu Aqsa Michael
Mabula na mmewe William Brown walipofunga ndoa tarehe 31 August 2013 ,
Huko jijini Mwanza. Utukufu apewe BWANA. na achokiunganisha MUNGU
mwanadamu asikitenganishe, pia ndoa ni watu wawili wa jinsia tofauti
kuungana na kuwa mwili mmoja katika KRISTO, Sehemu ya picha za tukio
hilo ni hizi hapa. |
Comments