WAIMBAJI KUMPA TAFU STEVEN MWIKWABE JUMAPILI HII


Mwimbaji wa gospel nchini Steven Mwikwabe anatarajia kuzindua album yake ya tatu iitwayo "Wewe wajua" jumapili hii katika kituo cha ushauri wa kibiblia na maombezi (BCIC) Mbagala maji matitu akisindikizwa na waimbaji kama Beatrice Mwaipaja, Lembo Emmanuel Junior, Tina Marego, Atosha Kisava pamoja na waimbaji wengine wakiwemo wenyeji.

Comments