Skip to main content
NATAKA NIJUEE YA CHRISTINA SHUSHO LIVE CCC JUMAPILI
 
Katika Tamasha la Live Recording ya Christina Shusho... anategemea 
kuafanya collabo na waimbaji kadhaaa akiwepo Bro Joshua MLELWA ambaye 
mie binafsi yangu namkubaligi mbaaaya... i mean mbaaaya!!!! kwa wasio 
mfahamu Joshua aling'ara saana akiwa na kundi la Upendo Group kabla haja
 simama kivyake pamoja na mkewe. Huyu jamaa ananguvu ya ajabu saana 
awapo jukwaani and he is very anointed... Nakumbuka nilikuwa naye kwenye
 hudumua katika kanisa moja kahama wimbo wake wa "Ni wewe" ulitibua hali
 ya hewa kwa nguvu za Roho mtakatifu isivyo kawaida... Sasa TAREHE 24 
pale CCC UPANGA, ataimba nyimbo zake lakini pia atafanya wimbo maalumu 
pamoja na CHRISTINA. Waimbaji wengine ambao watafanya collabo na Shusho 
ni UPENDO KILAHIRO na kundi la THE VOICE. DONT PLAN TO MISS THIS BIG 
EVENT. 
 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
 
 
Comments