Moto umeendelea kuwaka katika ibaada zenye nguvu ya
MUNGU katika kanisa la Kawe Pentecostal Church(KPC), Kwa mchungaji Elly
Boto, Mtumishi huyu wa MUNGU, MUNGU BABA amekuwa akimtumia katika
viwango vikubwa sana , kila jumapili imekuwa ni siku ya kufunguliwa
kwani MUNGU ameachilia Baraka zake na uponyaji wake kwa watu wake, Leo
pia kulikua na maombezi ya wale ambao wametoa sadaka zao za shukrani
kupitia hapa hapa Maisha ya ushindi blog, wale waliotuma sadaka zao moja
kwa moja zimepelekwa kanisani na maombi yao yatakuwa yanaombewa kila
mara , katika ibaada za mikesha na ibaada za kawaida, Kama unahitaji
maombezi bure kabisa Wasiliana nami kwa namba 0714252292, pia kama
unataka kutoa sadaka yako ya shukrani katika madhabahu hii ya MUNGU
aliye hai , tuma kwa namba hiyo na pia tuma pamoja na maombi yako
kupitia namba hiyo, pia kama unataka kuwasiliana moja kwa moja na
Mchungaji Elly Boto piga namba 0719640642 au 0752965812. MUNGU akubariki
sana.
pia karibu sana katika mkesha wa Krisimasi Tarehe 24/12/2013 pia karibu katika mkesha wa vijana wa kufunga mwaka Tarehe 29 December 2013 ampapo otakuwa ni mkesha utakaoakusanya vijana kutoka makanisa 6 yakiwemo KPC Kawe wenyeji, DPC kinondoni, PAG mbezi beach, PAG Goigi, PAG yombo na PAG mpopo. Karibu sana pia ndugu kutoka kila pande ya jiji. Zifuatazo ni baadhi ya picha katika Ibaada ya leo
 |