|
SCHOLAR KATIKA HUDUMA KANISANI |
SCHOLAR WILLIAM MUNGUSA |
Nawasalimu na kuwatakia heri za Krismasi na heri za mwaka mpya ndugu zangu wote wakiwemo baba mzazi William akiwa Mwanza, Dada yangu Happy William akiwa Morogoro, Kaka zangu Peter William na Steven William, wana kwaya mwenzangu kanisani KPC, viongozi wa kanisa na kila aliye rafiki yangu. MUNGU awabariki sana.
ujumbe wangu ni kwamba tusherekee kwa amani na kwa kumtii MUNGU, AMEN.
Scholar William Mungusa |
Scholar Mungusa, mwenye koti jeusi akiwa na wana Praise & Worship team wenzake KPC , Kawe, Dar es salaam |
Hapa nilipo mimi ni kwa neema tu ya MUNGU |
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12