Semina kubwa na mkesha wa nguvu ATN

Uongozi wa ATN wanakuletea Semina kubwa ya Neno la Mungu itakayoanza January 1 - 4 kila siku jioni ikiambatana na mkesha mkubwa utakaofanyika siku ya ijumaa ya tarehe 3 kuanzia saa 3 usiku. Waimbaji mbalimbali watasifu, watumishi mbalimbali watahubiri na kufanya maombi maalum kwa kila mtu. 
Hakuna kiingilio na watu wote mnakaribishwa. 



Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12