![]() |
Mtume Peter Nyaga akihubiri siku ya pili ya mkutano. |
hizi ni baadhi ya picha za siku ya pili ya mkutano.
![]() |
ni saa ya uponyaji na kufunguliwa, ni saa ya vilema kutembea na viziwi kusikia tena katika jina la YESU KRISTO |
![]() |
Maelfu ya watu wanahudhuria karibu ndugu na wewe upokee muujiza wako |
![]() |
Zacharia Kenyatta akiimba katika mkutano huo |
![]() |
Tanzania kwa YESU |
![]() |
Neema Mwaipopo akiimba katika mkutano huo. |
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12