Mtume Peter Nyaga akihubiri siku ya pili ya mkutano. |
hizi ni baadhi ya picha za siku ya pili ya mkutano.
ni saa ya uponyaji na kufunguliwa, ni saa ya vilema kutembea na viziwi kusikia tena katika jina la YESU KRISTO |
Maelfu ya watu wanahudhuria karibu ndugu na wewe upokee muujiza wako |
Zacharia Kenyatta akiimba katika mkutano huo |
Tanzania kwa YESU |
Neema Mwaipopo akiimba katika mkutano huo. |
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12