Siku ya 3 katika mkutano mkubwa wa injili, BWANA YESU
anaendelea kumtumia mtumishi wake Mtume Peter Nyaga huko Tabata Kimanga,
maeneo ya Savana kwenye viwanja vya serikali ya mitaa. Jumatatu hii
ilikuwa ni moto wa MUNGU ukiangamiza kazi zote za shetani ndani ya watu.
Hakika BWANA YESU alidhihirishwa ili azivunje kazi zote za shetani(1
Yohana 3:8), na hakika kazi za shetani zinavunjika isivyo kawaida. Ndugu
karibu pia na wewe kesho na hadi tarehe 5/ January/ 2014.![]() |
Neema Jekonia Chavara akiimba kwenye mkutano huo |
![]() |
Ni saa ya urejesho kwa watu wa MUNGU |
![]() |
Ni saa ya kufunguliwa na kuwekwa huru, hapa Mtume Nyaga akimwombea dada huyu aliyekuwa anasumbuliwa na nguvu za giza na baada ya maombezi akawa huru |
![]() |
What God can do no man can do |
![]() |
ni saa ya kufunguliwa |
![]() |
Mamlaka ya BWANA YESU inatenda kazi sana katika mkutano huu wa siku 9 yaani hadi tarehe 5 january 2014 |
![]() |
Zacharia Kenyatta na brother Joshua tayari kumtukuza MUNGU |
![]() |
Upendo Nkone kama kawaida yupo kumtukuza MUNGU |
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio
jina lake; -Yohana 1:12