
Waimbaji nio wengi, na ni sahihi kusema karibia waimbaji wote Dar
watakuwepo siku hiyo, kuanzia walichapwa kwenye karatasi za matangazo
hadi wale ambao hawajaainishwa, ikiwemo Upendo Nkone, Masanja
Mkandamizaji, Beatrice Mwaipaja, Christina Mbilinyi, Anne Annie, na
wengineo wengi. Yote haya ni kuanzia saa nane mchana na kuendelea kwa
kiingilio cha 5,000 kwa watoto, 10,000, 20,000 na 50,000.
Karibu uchangie huduma ya Neno la Mungu isonge mbele, na pia upate
huduma ya maombezi kutoka kwa mtumishi wa Mungu, Florian Katunzi, by
Power, by Force.
Chanzo:Gospel kitaa