Tazama Picha za Kundi la Joyous Celebration wakifanya Live Recording ya Joyous 18 nchini Afrika Kusini ndani ya City Hill Church huko Hillcrest, Durban
Sabu mpiga ngoma machachari wa kundi hilo |
Lungelo Gcobo,,,pianist wa kundi hilo katika Joyous 18 |
Altos....wakienda sawa ndani ya Joyous 18 |
Mamia ya watu wakiingia katika ukumbi tayari kwa kushuhudia Live Recording yao Joyous 18 |
Nhlanhla Zoo na Puleng March on Duo! #JoyousCelebration18 |
Nomandla akiwa stejini akirindima kwa vocal matata |
Gcina on stage |
Nwabina mmoja wa katika mavocalist wa Soprano |
Hlengiwe Ntombela akiongoza watu katika kuabudu |
Nthabiseng Motsepe |
Andiswa and Mnqobi wakitiririka na moja ya wimbo katika Joyous 18 |
Mnqobi akirindima na Chords kwenye kinanda |
watu wakienda sawa |
Sbu Mthembu closing up first set! |
Nwabisa na Nsiko Shandu wakipiga Colabo katika wimbo. |
Xoli and Nomthi ndani ya Colabo la kipekee |
Ayanda Shange akivunja ma break dance |
Bheka Mthethwa akiungurumisha bass guitar |
Pastor Jabu Hlongwane ons stage. |
Dr Sylvester on stage akiongoza sifa |
sabusatsha |
Mercy and Sphumelele wakipiga kolabo la kipekee |
Mkhululi Bhebhe kama kawaida yake hua hafanyi makosa pale akishika Microphone |
Xolani Mdlalose akihitimisha |
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12