Tazama Picha za Kundi la Joyous Celebration wakifanya Live Recording ya Joyous 18 nchini Afrika Kusini ndani ya City Hill Church huko Hillcrest, Durban


Sabu mpiga ngoma machachari wa kundi hilo



Lungelo Gcobo,,,pianist  wa kundi hilo katika Joyous 18

Altos....wakienda sawa ndani ya Joyous 18
Mamia ya watu wakiingia katika ukumbi tayari kwa kushuhudia Live Recording yao Joyous 18
Nhlanhla Zoo na Puleng March on Duo! #JoyousCelebration18
Nomandla akiwa stejini akirindima kwa vocal matata
Gcina on stage
Nwabina mmoja wa katika mavocalist wa Soprano
Hlengiwe Ntombela akiongoza watu katika kuabudu
Nthabiseng Motsepe
Andiswa and Mnqobi wakitiririka na moja ya wimbo katika Joyous 18
Mnqobi akirindima na Chords kwenye kinanda
watu wakienda sawa
Sbu Mthembu closing up first set!
Nwabisa na Nsiko Shandu wakipiga Colabo katika wimbo.
Xoli and Nomthi ndani ya Colabo la kipekee
Ayanda Shange akivunja ma break dance
Bheka Mthethwa akiungurumisha bass guitar
Pastor Jabu Hlongwane ons stage.


Dr Sylvester on stage akiongoza sifa
sabusatsha

Mercy and Sphumelele wakipiga kolabo la kipekee
Mkhululi Bhebhe kama  kawaida yake hua hafanyi makosa pale akishika Microphone
Xolani Mdlalose akihitimisha
chanzo: mjapinc blog

Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12