Ukaniite Siku ya mateso yako Nitakuokowa,
Yohana 3:16 Kwa
maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee,
ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Si mpango wa Mungu uendelee kuteseka Ndugu yangu Msaada umepatikana ni wewe kuwa tayari kuutumia unaihari kukataa au kukubali Mungu Akuhudumie wengi wanateswa na Muovu na hawajui hilo nalo ni Tatizo kubwa sana Mtu kukotambuwa tatizo lake, ndiyo maana watu wanafunguliwa toka katika Magereza kwa muda mfupi wanajikuta wamerudi tena huko sababu ni kutotambuwa namna ya kujilinda na uovu, ukisha funguliwa haiishii hapo unatakiwa kuendelea kumwita Mungu ili uweze kuwa salama,
Si mpango wa Mungu uendelee kuteseka Ndugu yangu Msaada umepatikana ni wewe kuwa tayari kuutumia unaihari kukataa au kukubali Mungu Akuhudumie wengi wanateswa na Muovu na hawajui hilo nalo ni Tatizo kubwa sana Mtu kukotambuwa tatizo lake, ndiyo maana watu wanafunguliwa toka katika Magereza kwa muda mfupi wanajikuta wamerudi tena huko sababu ni kutotambuwa namna ya kujilinda na uovu, ukisha funguliwa haiishii hapo unatakiwa kuendelea kumwita Mungu ili uweze kuwa salama,
Zaburi 50;15 Ukaniite siku ya mateso; Nitakuokoa, na wewe utanitukuza.
Bali mtu asiye haki, Mungu amwambia, Una nini wewe kuitangaza sheria yangu, Na kuliweka agano langu kinywani mwako?
Bali mtu asiye haki, Mungu amwambia, Una nini wewe kuitangaza sheria yangu, Na kuliweka agano langu kinywani mwako?
Mtumishi wa Mungu akiwa anamfanyia Maombi ya
kufunguliwa Mama huyu,alifundisha namna ya Mtu kusimama na Neno la
Mungu na kujifunguwa yeye Mwenyewe, kukaa kimya kwako hakukusaidii kisa
unaogopa kuonekana si Mstarabu Ustarabu si kukaa kimya bali ni
kuliishi Neno la Mungu na kukaa mbali na dhambi,
Mtumishi alisema Tatizo siyo mtukuponywa bali
tatizo ni kuutunza Muujiza wako, akatoa mfano kutafuta Pesa si tatizo
ukisha zipata Pesa je unaweza kubaki nazo au kwako zinapita tu, kazi
kubwa ni kutunza na si kutafuta, wengi wamesafiri huku na kule kutafuta
miujiza wakishaipata wanaipotezea njiani wakiwa wanarudi nyumbani
Sawa sawa na mtu kukombolewa au kuokoka
tatizo siyo kuokoka bali tatizo ni kujitunza katika maisha matakatifu,
na ili Mungu akomeshe mateso yasirudi tena anataka kujuwa wewe unawaza
nini juu yake,
Unawaza Nini juu ya Bwana ili akomeshe mateso yako?
Nahumu 1:9 Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili.
10 Kwa maana wangawa kama miiba iliyotatana, na kunyweshwa kana kwamba ni katika kunywa kwao, wataliwa kabisa kama mabua makavu.
10 Kwa maana wangawa kama miiba iliyotatana, na kunyweshwa kana kwamba ni katika kunywa kwao, wataliwa kabisa kama mabua makavu.
Ili Mungu akomeshe mateso yako anataka kujuwa baada ya uponyaji unawaza nini juu ya yeye Mponyaji, si kwamba ukisha pona unaanza Mbiyo kwenda kuendelea kama kawaida hapana badilisha njia iliyokusababishia matatizo na anza kupita njia Salama kwako, uchaguzi ni wako,
aliyaongea hayo Mtumishi wa Mungu Samson kabla ya kumfanyia maombi Mama aliyakuwa ametumiwa mapepo bila yeye kujuwa,
Ushahuri na maombezi ni Bure kabisa, unaweza
ukaja pale kanisani au ukapiga simu, itapokelewa na Mpakwa Mafuta wa
bwana,,,,,,,unaweza ukaendelea kufuatilia masomo haya kila siku, au
kununua CD Vitabu vya mafundisho vya Mtumishi wa Mungu, asante
kwakushiriki mahali hapa na Sisi karibu tena mwalike na Mwenzao na
unaruhusiwa kuyatumia mafundisho unayoyakuta hapa isipokuwa kubadilisha
kanamna Yeyote ile,
Ushahuri au Maombi piga simu Ongea na Mtu wa Mungu Nabii Samson
live Ni Bure masaa 24 siku saba za juma piga sasa 0756 809 209 Beeping
Hazitajibiwa, barua Pepe tuma kupitia samsonmboya18@yahoo.com
