Waziri Mkuu Mh. Pinda ahudhulia Jubilee ya Kanisa la Katoliki Jijini Arusha


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Maaskofu wa Kanisa Katoliki baada ya Ibada ya Jubilei ya miaka 50 ya  Kanisa Kuu  la jimbo la Arusha  iliyofanyika mjini Arusha
 (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

                    Katika Jubilei hiyo ya miaka 50 ya  Kanisa Kuu  la jimbo la Arusha viongozi mbalimbali walikuwepo kuhudhilia akiwemo Waziri Mkuu Msaafu Edward Lowasa
 
 
 
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12