![]() |
Professa Mark Mwandosya akiwa na Father Mwang'amba wodini alipomtembelea nchini India. ©Issamichuzi.blogspot.com. |
Paroko huyo ambaye mwili wake uliharibika kutokana na tindikali hiyo, alipelekwa nchini India na kanisa lake kwaajili ya kupatiwa matibabu zaidi kutokana na tukio la kumwagiwa tindikali ambalo watanzania wenye kuipenda na kuitakia amani nchi yao walichukizwa sana na kutaka mamlaka husika kuwatafuta wahusika ili wawajibishwe kwa mujibu wa sheria
Comments