Askofu kakobe Ministry:2014 NI MWAKA WA BARAKA KUBWAKUBWA KWAKO


Changamka! Huu ni mwaka wako wa Kubarikiwa kwa baraka Kubwakubwa. Mhubiri wa Kimataifa ASKOFU MKUU ZACHARY KAKOBE ataomba maalumu kwa ajili yako Jumamosi na Jumapili 11-12/01/2014, Mahali: Katika Kanisa la FULL GOSPEL BIBLE FELLOWSHIP DAR ES SALAAM, Saa 9.30 hadi saa 12.30 kila siku.
Je wewe ni tasa, au kiziwi, Bubu, Una UKIMWI, Cancer, Tb, Kifua kikuu au Madonda ya tumbo n.k? Je dhambi Imekuwa mzigo wa kulemea kwako, huna uwezo wa kushinda madawa ya kulevya, uasherati n.k, Mikosi na balaa imekuandama katika Maisha yako, kila unalolifanya halifanikiwi?? Jipe Moyo Bado kungaliko tumaini. Unataka Baraka katika Masomo yako,Maisha yako kiroho, Biashara, Kazi, Katika Ndoa yako, katika maisha yako kwa Ujumla? Huu ni wakati wako.. YULE MTENDA MIUJIZA YESU KRISTO Yupo kwa ajili yako, kwake hakuna Gumu la Kumshinda. Anataka kukuweka huru sasa... Anza Mwaka 2014 na Mungu. Mungu ana jibu kwa kila hitaji lako.
Uje uzione nguvu za Mungu.. Kwa maulizo piga 0715282863/0762184617.
USIPANGE KUKOSA, MWALIKE NA MWENZAKO


Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12

Comments