MUNGU WAKWELI NA IBADA TAKATIFU







MUNGU NI NANI? HILI Ni swali ambalo ni lazima kila mtu anaye taka kujua juu ya

amani,uzima,mafanikio,ulinzi,malazi bora katika maisha yake ni mhimu kujiuliza

swali kama hili.

Maisha ni maendeleo na changamoto mbalimbali anazo kutana nazo mwanadamu

baada tu ya kuzaliwa hii inafuatana na hatua zake katika ukuaji,namaanisha

mabadiliko na uwezo anaokuwa nao mtu yeyote kulingana na hatua za ukuaji

ikifuatana na mabadiliko yanayojitokeza kataika mwili wake na maisha yake kwa

ujumla.Pia katika kuendelea huku mwanadamu anakuwa na maono mbali mbali

kulingana na changamoto anazo kutana nazo.


KUNA MUNGU WENGI KATIKA DUNIA


Nikweli kuwa duniani kuna mungu wengi ,MUNGU NINI? Swali hili ni lamhimu

katka somo letu .Mungu ni uweza ,uubaji,nguvu zenye kuleta matokeo amabayo

mwanadamu hawezi kuhusika hata kdogo,ufanisi,ulinzi,uendeshaji wa maisha ya

mwanadamu.

Tunajua kuwa sisi tuliumbwa na MUNGU pia vitu vyote vinavooonekana na visivyo

oknekana vimeubwa na MUNGU.

Kabla ya wazungu na waarabu kuja Afrika ,tuliamini kuwa tuna mungu anayetupa

mvua na kutupa ushindi pale tu adui anapojitokeza.

Katika nchi yangu ya Tanzania yenye makabila mengi watu na tamanduni zao

waliishi wakiamni MIUNGU WAO(MUNGU) mungu hao walitoa utaratibu ambao

utekelezwaji wake uko katika mfumo wa ibada na ujue kuwa MUNGU yeyote

anapenda kuabuduiwa na ziko ibada nyingi na zimetofautiana ki utaratibu wa

ibada zao kulingana na MIUNGU HAO.

Mfano utaona katika matambiko mabali mbali ya ibada kulingana na miungu hao

na watu wanaofuata taratibu za ibada zao,

Wachanga wanataratibu zao na mitabiko yao

Wahaya wanataratibu zao na ibada zao

Wamasai nao pia wana taratibu zao na ibada zao

Wengi waliamini wakaishi katika ibada zao na matambiko hayo na wakafanikiwa

kulingana na mahtaji yao


MIUNGU IMEKUWA IKIJIBU MAHITAJI YA WATU


Nikweli kuwa wengi wamefanikiwa kwa matabiko na ibada zao,tumesikia watu

wakiua watoto wao wakidai kuwa wanawatoa kafara katika MIUNGU yao

BAAADA YA WAZUNGU KUJA AFRIKA

Baada ya wazungu kuja afrika walituletea MUNGU ambaye ni KIRISTO

Ukirsto huo ukaja na tamaduni au utaratibu katika kuabudu kizuri zaidi yaani

ibada.Ibada hizo pia nyingine zikawa zimetofautiana sana mfano wazungu

walioleta UROMAN KATHOLIC wametofautiana kiibada na wale walioleta

UPENTEKOSTE.Kizuri ni kuwa wakaja na muongozo wa MUNGU HUYO ambao ni

biblia

BIBLIA ni kitabu ambacho kina muuongoza mkristo ajue afuate MUNGU kwa

asilimia mia,kitabu hicho kimeandikwa na wanadamu kwa muongozo wa ROHO

MTKATIKFU 2Timotheo 3:16

Biblia ni MUNGU yohana1;1-5

Kwahiyo neno ndio kiongozi waukirsto na ufanisi wa maisha ya wakirsto.

Baada ya injili kufika Afrika watu waliipokea na kungundua uweza na majibu

katika jina la BWANA YESU


BIBLIA NA MUNGU WA KWELI


Biblia ni kitabu kinachoeleza vizur ibada ya kweli na ibada ipi ambayo

mwanadamu anatakiwa ampatie MUNGU wake aliye muuumba ili MUNGU

ampatie majibu katika maisha yake.

Biblia imeeleza miungu wengi ambao ni mapepo ambayo hapo kwanza yaliishi

mbinguni kama malaika na baadae malaika hao wakaasi nakutupwa kushushwa

kuzimu.

Biblia imeweka wazi kuhusu mapepo na shetani ambaye ndiye kiongozi wao.

Shetani

ufunuo 12;7-12,

hapa biblia imeemuelezea shetan kuwa katika mistari hizi

kuwa Yule joka wa zamani aitwae ibilisi na shetani.....

Shetani alikuwa malaika wa bwana aliitwa nyota ya alfajiri,pia alikuwa malaika

wa sifa alipinga vinanda kila mara aliitwa lusifa.

Kiburi kilimushusha shetani kutoka mbinguni hadi kuzimu yeye alijiiinua akitaka

kumfanana

MUNGU

muubaji akatupwa chini

Isaya14;10-16

.

Ukisoma

ufunuo 12;7-

12

kulikuwa na vita mbinguni;mikaeli na malaikazake wakapigana na Yule joka nae

akapigana nao pamoja na malaika zake;nao hawakushinda,wala mahali pao hapakuonekanatena mbinguni Yule joka

akatupwa,Yule mkubwa,nyoka wa zamani,aitwaye ibilisi na shetani audanganyaye ulimwengu wote;akatupwa hata nchi,na

malaika zake wakatupwa pamoja naye

....................................................

Shetani alitupwa kuzimu na malaika zake ambao leo ni mapepo na majini,mizimu

na majinamizi.

Kwahiyo tunaona kuwa mapepo na majini yakawepo katika dunia

yakiwadanganya wanadamu walio katika ulimwengu.Kwanini wamepewa miliki

ya kutawala na kuudaganya ulimwengu.Baada ya shetani na kundi lake kutupwa

katika ulimwengu ambao umeumbwa kwaajili ya wanadamu na mwanzo kabisa

baada ya MUNGU kuuba ulimwengu mapepo na majini tayari yalikuwepo duniani

yakirandaranda.

UWEZO NA MAMLAKA YA MAPEPO JUU YA MWANDAMU

Mapepo hayakuwa na nguvu yeyote juu ya mwandamu kabisa.Mwanadamu

aliubwa akapewa endeni aitunze na kutawala wanyama wote na vitu

vyote.MUNGU alikuwa akimtembelea mwandamu hyo kwahiyo Mungu alikuwa na

mahusiano mzuri na MUNGU wake aliyemuumba.

Shetani hakuwa na mamlaka yeyote juu ya mwanadamu..


KUANGUKA KWA MAMLAKA YA MWANADAMU


Ukisoma

mwanzo 3;1

utaona kuwa nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama

wote ambao

MUNGU

aliwaumba.Baada ya mwanadamu kupewa miliki

yakutawala edeni alipewa sheria,amri ambayo ilimtaka kuwa anaweza kula

matunda ya miti yote lakini matunda ya mti wa uzima ambao ulikuwa katkati ya

bustani asile asilan kwa sababu akila atakufa.

Shetani baba wa uongo akaingia ndani ya Yule nyoka ambae alikuwa na

akili,hekima,busara akaingia ndani yake na akamudaganya hawa na hawa bila

kujua akala matunda ya ule mti wa uzima na mume wake naye akala baadae

wakajiona wako uchi nawakajificha(wakakimbia miliki waliyokuwa wamepewa

watawale wakauza mamlaka yao kwa matunda kwa shetani ambaye alipokea

utawala kutoka kwa Adamu)

Kwahiyo utawala wote katika dunia ukawa juu mapepo na majini


JE MAPEPO MASHETANI YANAWEZA KUBALIKI NA KULINDA WANADAMU


Shetani baada yakupewa mamulaka ya kutawala akajimilikisha sehemu

mbalimbali katika duni hiii..kwa ushaidi wa biblia hebu soma

kutoka 7;8-13,8;16-

14

utaona jisi

ambavo FARAO

aliishi na majin wachawi na waganga ambao

wanatumia nguvu za kishetani kulinda na kubaliki utawala wake

Katika biblia utaona vile ambavo wafalme kadha wakadha walitengemea waganga

na wachawi kutabir na juu ya ufalme wao.

Katika kitabu cha danieli autaona kuwa katika nchi ya babeli mfalme aliandaa

sanamu kwa ajili ya ibada watu waaiabudu sanamu hiyo Danieli soma sura 3 yote,

Wafrist walikuwa na mungu wao ambaye walimwabudu kwa jina aliitwa

DAGON

SOMA 1Samwli 5;1-4..

Kwahiyo wafalume wengi walilindwa nakubarikiwa na mapepo ambayo

waliyaabudu na kuyatumikia

Katika kitabu cha

wafalme 18;22-30

utawaoana manabii wa baali ambao

waliaminiwa na mke wa mfalme

Ahabu JEZEBELI

na utaona jisi walivotoa ibada

wakishindana na MUNGU wa kweli wakiwa pamoja na Elian a matokeo yake

MUNGU wa Eliya akatukuzwa siku hiyo.

Ukisoma angano la kale utaona shetani na mapepo yake yakizuia Baraka ambazo

mwanadamu katka dunia alihtaji mfano kipindi Danieli anaomba kuhusu maono

yake ambayo aliionyeshwa kuhusu siku za mwisho na dalili zake Danieli10;11-15.

Danieli 10;

13 lakini mkuu wa ufalme wa uajemi alinipinga siku ishirin na

moja ;bali, tazama ,huyo mikaeli,mmoja wa hao wakuu wa mbele,akaja

kunisaidia;name nimemwuacha huko pamoja wafalme wa UAJEMI

....

Katika

msitari huu utaona vile ambavo mapepo yanautawala ufalme huu wa anga,kwa

maana nyingine anga hili linamilikiwa na

MASHETANI AMBAO WALIPOKONYA

MAMLAKA YA ANGA KUTOKA KWA ADAMU PALE ADAMU ALIPOKULA TUNDA

KATIKA BUSTANI YA EDENI

Ukisoma uwa ipo vita katika

waefeso 6;10 -14utaona k kwa wanawamungu

katika ufalme wa anga msitari wa

12 kwa maana kushindana kwetu si katika

damu na nyama ;bali ni juu ya falme na mamlakajuu ya wakuu wa giza hili,juu

ya majeshi

ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

H apa utaona kuwa

mapepo wnamiliki anga hili linalo tuzunguka katika ulimwengu huu.Ashukuriwe

JEHOVA ambaye ametufunulia siri hii kuwa tunashindana na pepo wabaya katika

ulimwengu waroho kwa maombi katika maombi na MUNGU antushindania kwa

sababu Yesu ametupatia mamlaka katika jina la YESU.Ok ukiangalia

Danieli

10;13

utaona malaika akimwambia danieli kuwa wakuu wa uajemi wamenipinga siku nyi

ng toka ulipoazimia kuomba tu lakini mapepo yalipinga

ASHUKURIWE MUNGU

KUWA ALITUMA MALAIKA NA MIKAELI AKABAKI AKIPAMBANA Na MAPEPO

HAYO YA UAJEMI NA YEYE AMELETA MAJIBU..

MUNGU alisikia maombi ya Danieli lakini majeshi ya pepo walipinga na mwisho

yalishindwa na kuacha njia ambayo malaika alileta majibu kwa Danieli.
MUNGU akubariki sana 

ITAENDELEA ...............SEHEMU YA MWISHO. 

Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12 

Comments