| Mwamini Godfrey Chalugamba | 
 Olga Haule
|   | 
Rogers a.ka THE GORGEOUS
Kuhusu ubora wa kazi na bei viko tofauti
 kwa maana ya bei ni ndogo ila ubora uko juu lengo likiwa ni kuibua 
waimbaji wapya katika ulimwengu wa nyimbo za Injili pia Mwamini 
huwaunganisha waimbaji wake(wanao rekodi kwake) na redio mbalimbali 
zinazo tangaza nyimbo za dini za Jijini Dar es salaam na mikoani ikiwemo
 Iringa na Morogoro. Pia mmiliki huyo wa studio anamaono ya kuanzisha 
uzalishaji wa Video pia ili kuhakikisha waimbaji watakao rekodi hapo 
waupate ubora ule ule kwenye Video pia.
Kwa namba za mawasiliano za mmiliki huyo wa Studio ni +255714265757
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12

Comments