
Nyakati hizi kama maandiko yanavyosema ni za hatari 2Timotheo 3:1.Kweli ni za hatari kwani kasi ya kuwatafuta na kuweka imani kwa wanadamu imesababisha watu kutanga tanga.Wanafikiri Yesu yuko mbali nao bali wako karibu na wanadamu wanaowatukuza na kujenga imani kwao,lakini wanadamu hao wakishindwa wanakata tamaa.Kwa sababu wameweka kwao kuwa watamaliza shida na matatizo yao.Funguka mponyaji na mmaliza shida na matatizo yetu yote tukijenga imani kwake.Yesu yuko karibu sana nasi tukivunjika


Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12
Comments