Uzinduzi huo umekwenda sambamba na harambee kubwa ya kuchangisha Takribani kiasi cha shilingi milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Imani Lutheran School.
Kilele cha Maadhimisho hayo kinatarajiwa kufanyika tarehe 31.August 2014 ambapo miradi mbalimbali itazinduliwa na kuwekwa wakfu.

picha za matukio hiyo ni kama zinavyoonekana hapa









![]() |
Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama wakiimba |
![]() |
Wapigaji wakipiga muziki wa Kijitonyama |





![]() |
Kwaya ya Imani kkkt Makongoro wakiimba |


![]() |
Vitabu vya Mungu navyo vilikuwepo kama Biblia na vinginevyo kama inavyoonekana. |
![]() |
Mwonekano wa Kanisa la Kkkt Imani Makongoro Mwanza.
|

Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12
Comments