Mchungaji Jennifer Cormack asimikwa kuwa Mchungaji kiongozi wa C.A.G Arusha, Sombetini.



Kanisa la Sombetini Arusha(Calvary Assemblies of God) jana limepata Mchungaji kiongozi ambaye ni Jennifer Cormack, Hapo awali kanisa hilo lilikuwa likiongozwa na Askofu Mkuu wa C.A.G ambae pia ni Mtume huku Jennifer Cormack akiwa Mchungaji msaidizi.

Ibada hio ilihudhuliwa na watu mbali mbali ikiwemo katibu mkuu wa C.A.G Mchungaji Zefania Ryoba ambae aliongozana na Mkewe. Katika ibada hio pia alikuwepo Askofu Mkuu wa C.A.G Mtume Dunstan Maboya.

Katibu Mkuu wa C.A.G Mchungaji Zefania Ryoba akifundisha
Askofu Mkuu wa C.A.G Dunstan Maboya, Mama Mchungaji Ryoba na Mchungaji Jennifer Cormack wakifatilia kwa umakini Neno la Mungu.
 Mchungaji Jennifer Cormack akipongezwa na kutiwa moyo kwa kazi ya Mungu anayoianza kwa Cheo tofauti ndani ya kanisa.



 Washirika wakifuatilia Ibada hio maalum ya kusimikwa kwa Mchungaji kiongozi











 Mchungaji Jennifer Cormack akiwa tayari kwa ajili ya kusimikwa kuwa Mchungaji kiongozi

Injili Forever inatoa pongezi maalumu kwa Mchungaji Jenifer Cormac kwa kusimikwa kwake ni ishara alikuwa mwaminifu katika nafasi yake ya Uchungaji msaidizi. 


                     chanzo: Injili forever blog
Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12

Comments