MWALIMU MWAKASEGE JANGWANI KUANZIA JUMAPILI HII

Baada ya kutoka jijini Arusha, hatimaye huduma ya Mana, inayoongozwa na Mwalimu Christopher Mwakasege na mkewe Diana, watakuwa kwenye jiji la Dar es Salaam kuanziaa tarehe 23 Februari, hadi tarehe 2 Machi.

Kama ulikuwa ukimsikiliza tu kwa njia ya mtandao, sasa ni fursa ya kufika viwanjani hapo ili upate kukua kwa chakula cha kiroho ambacho Mungu amekuandalia kupitia watumishi wake.





Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12

Comments