Katika hali ambayo haikutarajiwa nchini misri, watalii 3 wa Kikristo
kutoka nchini Korea ya Kusini wamefariki sanjari wa dereva wao wa nchini
humo, na wengine wengi kujeruhiwa, wakati wakiwa katika mizunguko yao
ya kutalii kutokea kanisa la Mtakatifu Catherine, ambalo ni eneo la
kihistoria kwa mujibu wa UNESCO wakielekea Israel.
Kwa mujibu wa mashuhuda, basi ambalo watalii hao walikuwa wakisafiria,
lilikuwa na jumla ya watalii 32, ambapo baada ya mlipuko huo kutokea
maeneo ya Sinai, takriban kilomita yadi 250 kutoka mpakani mwa Israel.
Eneo ambalo mlipuko umetokea, ni eneo ambalo inaaminika Musa alipata amri kumi za Mungu kutoka hapo,
Hata hivyo kwa mujibu wa msemaji wa kundi la waasi wa Muslim
Brotherhood, ambacho kinafanya kazi zinachofanana na hii kimekataa
kuhusika na shambulio hili moja kwa moja.
Tokea kuenguliwa madarakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo, Mohamed Morsi, ambaye kwa sasa yuko mahakamani, kundi la Muslim Brotherhood, ambalo ndilo lilipelekea kuchaguliwa kwa kiongozi huyo, limekuwa likilipiza kisasi kwa wakristo nchini Misri kwa madai kuwa ni wao ndio waliopelekea kiongozi wao kuondoloewa madarakani.
Christian Post imeandika
Tokea kuenguliwa madarakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo, Mohamed Morsi, ambaye kwa sasa yuko mahakamani, kundi la Muslim Brotherhood, ambalo ndilo lilipelekea kuchaguliwa kwa kiongozi huyo, limekuwa likilipiza kisasi kwa wakristo nchini Misri kwa madai kuwa ni wao ndio waliopelekea kiongozi wao kuondoloewa madarakani.
Christian Post imeandika
Comments