Askofu mkuu Zachary Kakobe amuandikia barua ya wazi Rais Kikwete na watanzania kwa ujumla kuhusu mchakato wa Katiba mpya


Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Zachary Kakobe amemuandikia barua ya wazi Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania  Jakaya Kikwete  na kuelezea mambo mbalimbali ambayo kama kanisa hawajaridhika nayo kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya unaondelea kuanza kwenye uteuzi wa majina ya wajumbe mpaka sasa.
Barua hiyo inasomeka kama ifuatavyo hapa chini kama blog hii tulivyoipata nakala halisi ya Barua hiyo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhg17t_6F5yyEX_wiIlbZp4PDCeToaq-4qkxId5mM1iYf-ld6m0yNGyfw81esYtaaCfSULNkbYCRaL0qi2qDZo4NtHAnFyfJBtIFU9b3zdLXhys-hEG94pkeOIWyJNu1iipO1YkUdxUg6U/s1600/kakobe.jpg 


 
chanzo: mjap inc blog

Comments