Nguvu ya MUNGU yashuka katika kongamano la wanawake Isanga, Mbeya

Kongamano Lililoandaliwa na wanawake wa WWK wa Kanisa la Isanga Sayuni T.A.G.Mbeya

Nguvu ya Roho Mtakatifu imeshuka katika  jiji la Mbeya kupitia kongamano lililoandaliwa na wanawake wa WWK wa kanisa la Isanga Sayuni T.A.G. Muhubiri kutoka Tabora Pastor LUTENGANO Mwasongela asisitiza juu ya uwepo na nguvu ya Roho mtakatifu ndani ya kanisa nguvu ya Roho mtakatifu ikewepo watu humiliki na kutawala Baraka za Ibrahim .
Pia watu wenye nguvu za kishetani watafunguliwa kupitia Ibada yenye nguvu ya Roho Mtakatifu 


Photo
Pastor LUTENGANO Mwasongela









 Mapacha walioteswa na nguvu za giza/kishetani kupitia kongamano la WWK isanga Mbeya wafunguliwa na kuachwa huru na vifungo vya shetani 

Njoo ushiriki semina hii iliyotawaliwa na nguvu za Mungu

                         Credit:Ambrose Joseph Chiwinga

Comments