KAENI MACHO KUNA JITU LINATUMIA JINA LA ROSE MUHANDO KATIKA MITANDAO KUTAPELI WATU


Yuko mtu nayetumia jina la Rose Muhando kutapeli watu kupitia mtandao wa facebook,mtu huyu ambaye amesha waumiza watu wengi kutokana na utapeli wake wakutumia (JAKAYA FAUNDATION).Siku ya jana niliweza kuchati naye na kubaini hilo mdau wangu......blog ilimtafuta Rose Muhando na kututhibitishia yuko na account moja iliyofunguliwa na kampuni ya SONY MUSIC ENTERTAINMENT ambayo kwa sasa anafanyanayo kazi kwa mkataba wa miaka mitano.Hivyo basi mdau wangu account zingine zote siyo za Rose Muhando kuwa makini na mitandao ya kijamii kwani matapeli wamo.






Utapeli mtupu mwee!!

Hii ndio offical page ya Rose Muhando inayomilikiwa na kampuni ya Sony Music intertainment.


Maelezo zaidi ya Biography.




                        Source: Uncle Jimmy

Comments