Kitabu cha NGUVU NYUMA YA JINA LAKO na Mchungaji Peter Mitimingi.

Picha: BAADHI YA WATU WALIOBADILISHWA MAJINA KATIKA BIBILIA:
THE POWER BEHIND YOUR NAME
Vitabu vinapatikana sasa 5000Tsh

1. Abramu – Ibrahamu – Alibadilishwa na Mungu Mwenyewe
• Tafsiri ya jina Abramu ilikuwa ni MUUMBAJI WA NAFSI (a souls creator; High father), maana ambayo Ilikuwa na uhusiano na mambo ya kishirikina. Ni kama wale wataalam wa kiganga. Alibadilishwa  kwenda Ibrahimu – Baba wa mataifa.
2. SARAI –SARA- Alibadilishwa na Mungu Mwenyewe
• Jina Sarai - lilimaanisha Binti wa kifalme. Tatizo lilikuwa ni binti wa Kifalme, katika ufalme upi. Ndiyo maana Mungu akaamua kufanya badiliko dogo katiaka jina lake.
• Jina Sara - linamaanisha Mwanamke aliye katika ngazi ya juu, mama wa mataifa mengi.
• Mungu alimbadilisha Sarai jina ili kuonesha hatua ya badiliko kutoka katika hatua ya chini kwenda hatua ya juu na kumfanya kuwa mama wa mataifa. (The name-change indicates a step from local to global)
3. Yakobo - Israeli - Alibadilishwa na Mungu mwenyewe.
 
• Jina Yakobo/James – lilimaanisha mtu mdanganyifu, mwenye hila
• Jina Israeli -  linamaanisha taifa la Mungu.
4. Simoni mwana wa Yohana – Petro– Alibadilishwa na Yesu.
• Jina Simoni – lilimaanisha ………………………….
Jina Petro – lilimaanisha jiwe/ mwamba

5. Sauli – Paulo – Alibadilishwa na Yesu
• Sauli ilimaanisha mtu wa maangamizi/kifo (Angalia Sauli wa Agano la Kale alitafuta kumuangamiza Daudi. Aliangamiza watu wengi sana katika utawala wake. Sauli wa Agano Jipya naye alitafuta na kuangamiza wakristo wengi sana mpaka pale alipookolewa.

• Paulo ilimaanisha mtu mdogo aliyejishusha.

6. Daniel  - Belteshaza - Alibadlishwa na mkuu wa matowashi wa mfamle Nebukadreza 
danieli na wenzake walipofika tu uhamishoni, kitu cha kwanza kilikuwa ni kubadilishwa majina yao.
Jina Danieli – lilimaanisha mtumwa w…..
Watu wengine waliobadilishwa majina yao kwenye maandiko utajisomea mwenyewe kwenye kitabu hiki NGUVU NYUMA YA JINA LAKO
BAADHI YA WATU WALIOBADILISHWA MAJINA KATIKA BIBILIA:
THE POWER BEHIND YOUR NAME
Vitabu vinapatikana sasa 5000 Tsh.
 
Kitabu hiki sio cha kukosa. haya ni baadhi tu ya majina na maana zake. Wasiliana na Mchungaji Peter Mitimingi kwa namba 
0713 183939 ili akuelekeza mahali pa kukipata kitabu hiki.
Haya ni baadhi tu ya majina na maana zake kwa ufupi.
 
1. Abramu – Ibrahamu – Alibadilishwa na Mungu Mwenyewe
• Tafsiri ya jina Abramu ilikuwa ni MUUMBAJI WA NAFSI (a souls creator; High father), maana ambayo Ilikuwa na uhusiano na mambo ya kishirikina. Ni kama wale wataalam wa kiganga. Alibadilishwa kwenda Ibrahimu – Baba wa mataifa.
2. SARAI –SARA- Alibadilishwa na Mungu Mwenyewe
• Jina Sarai - lilimaanisha Binti wa kifalme. Tatizo lilikuwa ni binti wa Kifalme, katika ufalme upi. Ndiyo maana Mungu akaamua kufanya badiliko dogo katiaka jina lake.
• Jina Sara - linamaanisha Mwanamke aliye katika ngazi ya juu, mama wa mataifa mengi.
• Mungu alimbadilisha Sarai jina ili kuonesha hatua ya badiliko kutoka katika hatua ya chini kwenda hatua ya juu na kumfanya kuwa mama wa mataifa. (The name-change indicates a step from local to global)
3. Yakobo - Israeli - Alibadilishwa na Mungu mwenyewe.

• Jina Yakobo/James – lilimaanisha mtu mdanganyifu, mwenye hila
• Jina Israeli - linamaanisha taifa la Mungu.
4. Simoni mwana wa Yohana – Petro– Alibadilishwa na Yesu.
• Jina Simoni – lilimaanisha ………………………….
Jina Petro – lilimaanisha jiwe/ mwamba

5. Sauli – Paulo – Alibadilishwa na Yesu
• Sauli ilimaanisha mtu wa maangamizi/kifo (Angalia Sauli wa Agano la Kale alitafuta kumuangamiza Daudi. Aliangamiza watu wengi sana katika utawala wake. Sauli wa Agano Jipya naye alitafuta na kuangamiza wakristo wengi sana mpaka pale alipookolewa.

• Paulo ilimaanisha mtu mdogo aliyejishusha.

6. Daniel - Belteshaza - Alibadlishwa na mkuu wa matowashi wa
mfamle Nebukadreza
danieli na wenzake walipofika tu uhamishoni, kitu cha kwanza kilikuwa ni kubadilishwa majina yao.

Jina Danieli – lilimaanisha mtumwa w…..

Watu wengine waliobadilishwa majina yao kwenye maandiko utajisomea mwenyewe kwenye kitabu hiki NGUVU NYUMA YA JINA LAKO
 

12. Agness Asili ya Kiyunani, na maana yake ni “ safi, takatifu”.
13. Adamson – Asili ya Kiingereza ya zamani, na maana yake ni “mwana wa Adamu”.
14. Aden- Asili ya Kigiliki, na maana yake ni “moto”.
15. Aisha – Asili ya Kiarabu, na maana yake ni “ yu hai na mwenye afya njema”.
16. Aaliya – Asili ya Kiarabu, na maana yake ni “mwenye asili ya kifahari”.
17. Amina – Asili ya Kiarabu, na maana yake ni “aliyemkweli na mwaminifu”.
18. Anisa – Asili ya Kiebrania, na maana yake ni “neema au upendeleo/kibali”.
19. Michael – ni nani aliye kama Mungu.
20. Amani – Asili ya Kiarabu, na maana yake ni “ hamu; matarajio au matakwa”.
21. Samson – Asili ya Kiebrania, na maana yake ni “Jua”.
22. Nicholas – Asili ya Kiyunani, na maana yake ni “watu wa ushindi”.
23. Margaret – Asili ya Kiyunani, na maana yake ni “Lulu mwanamke wa thamani”.
24. Ester – Asili ya Kiajemi, na maana yake ni “Mtu mwororo, jani la mti mwororo,”.
25. Faraja – Asili ya Kiswahili, na maana yake ni “faraja, nafuu au pumziko”.
26. Editha, Edith – Asili ya Kiingereza, na maana yake ni “Mwanamke wa mashindano kwa ajili ya mali”.
27. Jane – Asili ya Kiebrania, na maana yake ni “neema ya Mungu”.
28. Halima – Asili ya Kiarabu, na maana yake ni “mpole, mwenye tabia ya kati.”
29. Linda – Asili ya Kihispania, na maana yake ni “mzuri wa sura”.
30. Flora – Asili ya Kilatini, na maana yake ni “Ua”.
31. Victoria/Victor - Asili ya Kilatini, na maana yake ni “ushindi”.
32. Jessica – Asili ya Kiebrania, na maana yake ni “Anayeona”.


33. Emma – Asili ya Kifaransa na Kijerumani ya zamani, na maana yake ni “yote, ya kiulimwengu

Comments