WAKATI MWINGINE WATU HUWA WANASOMA BIBLIA KAMA HADITHI TU. Na ni mara
chache sana watu kulifanyia kazi na kusababisha miujiza au matendo makuu
katika maisha yao. huko Angola Africa Mungu ameendelea kudhihilisha
kuwa ukiliamini neno la Mungu na kutokutia shaka yeyote basi hufanya
sasa na neno lake.
Unawezaangalia habari hiyo hapo chini ila kwa ufupi kama huwezi fungua
ni habari iliyo tapakaa huko Angola baada ya mana kudondoka kutoka
mbinguni. katika mission hiyo kulikuwa na ukame na mavuno haya kuwa
mazuri ndipo wakaamua kuomba kwa muda ya siku tatu kumuomba Mungu alete
chakula, msimamiaji wa maombi hayo aliwakumbusha wanamaombi ambavyo
Mungu aliweza kuwashushia wana Israel Mana na wakala huko Jangwani.
wakiwa katika maombi binti yao alikuwa anacheza nje na akaona vitu weupe
vikidondoka.
na kulitokea watu weupe kama wazungu wakamwambia aokote ale akala na
nyingine akabeba akapeleka nyumbani wazazi wake walimuuliza amebeba nini
yeye akasema mana wakamwambia asile yeye akajibu nilisha kula
nilikutana na watu wawili wakaniambia nile ilibidi waende kuangalia na
hawakukuta mtu yeyote walikwisha toweka. kwanzia wakati huo wakawa
wanakusanya kuanza kula hiyo mana kwa muda sasa.
Comments