Matukio katika Picha,Semina ya Vijana iliyoandaliwa na kanisa la MICC,Mwanza International Community church
Mchungaji Zakayo Nzogere wa kanisa hilo la MICC akielezea jambo wakati wa semina hiyo maalumu ya Vijana jijini Mwanza |
Mr.Albert Kasa akifundisha jambo katika semina hiyo |
Baadhi ya Vijana wakifatilia kwa makini semina hiyo |
baadhi ya wachungaji katika kanisa la MICC wakifatilia semina hiyo |
Pastor Carolyne Evelyne Nzogere akielezea jambo katika semina hiyo |
Comments