![]() |
Mtoto Satrine akiwa na baba yake hapo jana, baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini ©mobile.nation |
Mtoto Osinye alifanyiwa upasuaji tarehe mosi ya mwezi huu katika hospitali ya Kenyatta jijini Nairobi nchini Kenya kisha kuwekwa chini ya uangalizi ambapo hali yake imeendelea vyema na kuanza kucheza kama ilivyo kwa watoto wengine hali ambayo imeonyesha hali yake iko salama hivyo madaktari kumpa ruhusa hapo jana.
![]() |
Picha ya mama mzazi wa mtoto huyo, ikiwa juu ya jeneza wakati wa mazishi wiki iliyopita. |
Kama hukusoma habari ya risasi ilivyotokea BONYEZA HAPA habari kwa hisani ya NTV
Chanzo ni Gospel kitaa
Comments